Psalms 73:9-11

9 aVinywa vyao huweka madai hata kwa mbingu,
nazo ndimi zao humiliki duniani.
10Kwa hiyo watu wao huwageukia
na kunywa maji tele.
Au: na kupokea yote wasemayo.

11 cWanasema, “Mungu awezaje kujua?
Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?”
Copyright information for SwhNEN